TyDiQA1.0

The Typologically Different Question Answering Dataset

Predictions

Scores

Ruhollah Khomeini

The Typologically Different Question Answering Dataset

Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini (Kifarsi: آیت الله روح الله موسوی خمینی‎) (* 24 Septemba 1902 mjini Khomein; 3 Juni 1989 Tehran) alikuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979 na baadaye kiongozi wa kiroho wa Jamhuri ya Kiislamu ya Uajemi hadi kifo chake.

Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi?

  • Ground Truth Answers: 19891989

  • Prediction:

Khomeini aliaga dunia 3 Juni 1989 baada ya upasuaji katika hospitali ya Teheran.

Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi?

  • Ground Truth Answers: 1989

  • Prediction: